Jumamosi, 20 Januari 2018

VIDEO: Mtatiro Afunguka CHADEMA Kusimamisha Wagombea

Mwenyekiti wa kamati ya uongozi wa Chama cha CUF Julius Mtatiro amesema kuwa kitendo cha CHADEMA kusimamisha wagombea katika uchaguzi mdogo wa marudio majimbo mawili ya Kinondoni na Siha sio kitendo kibaya, Msimamo wa UKAWA ulikua ni kugomea uchaguzi mdogo wa January 11.


TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..........USISAHAU KUSUBSCRIBE 



Hakuna maoni: