Ijumaa, 21 Februari 2020

MAJERUHI PEKEE ALIYE BAKI SIMBA (MILAJI)

Baada ya Mzamiru Yassin kuanza mazoezi hapo jana, Miraji Athumani ndiye mchezaji pekee ambaye anaendelea kuwa nje ya dimba akiuguza majeraha

Miraji amekuwa nje kwa takribani miezi miwili sasa akiuguza majeraha hayo ya goti

Kabla ya kupata majeraha, Miraji alikuwa kwenye kiwango bora akifunga mabao sita

Pamoja na kukosekana kwake Simba imeendelea kufanya vizuri kutokana na ubora wa kikosi chake

Deo Kanda ni mchezaji mwingine aliyekuwa majeruhi lakini tayari amerejea kikosini