UTAFITI MAREKANI: VIFO VITOKANAVYO NA ULEVI VYAONGEZEKA MARA 2
> Kulingana na uchambuzi mpya wa vyeti vya kifo, vifo vinavyohusiana na unywaji wa pombe kwa watu wenye umri wa miaka 16 na zaidi vimeongezeka kutoka vifo 35,914 mwaka 1999 hadi kufikia vifo 72,558 mwaka 2017
> Wanaofariki sana ni wanaume wenye umri wa kati huku wanawake nao wakishika kasi ktk utumiaji vilevi
S