Alhamisi, 18 Januari 2018

Rais Magufuli amteua Dk Mwinuka kuwa Mkurugenzi wa Tanesco


Dar es Salaam.Rais  John Magufuli amemteua Dk Titus Mwinuka kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania(Tanesco).

Kabla ya Utendaji huu Dk Mwinuka alikuwa akikaimu Nafasi hiyo.

Awali Dk Mwinuka alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM).

Na pia alikuwa ni Mkuu wa Idara ya Mekanika na Uhandisi wa Viwanda Chuo cha Uhandisi na Teknolojia (CoET) cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Hakuna maoni: