Jumanne, 2 Januari 2018

ALICHOSEMA KAMANDA WA POLISI DSM KUHUSU KUKAMATWA KWA MASOOD KIPANYA



Kufuatia taarifa zinazosambaaa kuhusu kukamatwa kwa mchoraji katuni maarufu nchini na mtangazaji wa Cloud Masood  Kipanya, Kamanda wa polisi mkoa wa Dar  es salaam ,Afande Razaro Mambosasa amesema kwamba hata yeye amesikia tu lakini hana taarifa kamili hivyo anafanya mchakato wa kuulizia kwenye vituo mbalimbali vya polisi kupata ukweli wa taarifa hiyo.

"Inadaiwa hivyo lakini hata mimi ukweli sijaupata,ndo tunaulizia vituo vya polisi kama ni kweli ili watuambie kama kweli" . Amesema Afande Mambo sasa alivopigiwa simu kuulizwa taarifa hiyo.
 BOFYA HAPA KUPATA HABARI KAMILI 



Hakuna maoni: