Jumanne, 19 Desemba 2017

VIDEO: Abiria watakiwa kurekodi wanaopandisha nauli - SUMATRA

Baraza la Ushauri la Mamlaka ya Usimamizi wa Huduma za Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra CCC) limewataka watumiaji wa huduma za usafiri kutoa taarifa kwa mamlaka husika wanapokutana na ongezeko la nauli katika kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa mwaka.

Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dk, Oscar Kikoyo amesema tayari ameshaanza kusikia malalamiko ya upandishwaji wa nauli unaofanywa kinyemela na baadhi ya watoa huduma za usafiri na hatua zimeanza kuchukuliwa dhidi yao.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KUSUBSCRIBE





Hakuna maoni: