Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dk, Oscar Kikoyo amesema tayari ameshaanza kusikia malalamiko ya upandishwaji wa nauli unaofanywa kinyemela na baadhi ya watoa huduma za usafiri na hatua zimeanza kuchukuliwa dhidi yao.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KUSUBSCRIBE
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni