Ijumaa, 29 Desemba 2017

MWANAUME AUA WATOTO WAKE WAWILI KISHA KUNYWA SUMU AMBAYO ILIGOMA KUMUUA, AKAMATWA


KIAMBU, KENYA: Jeshi la Polisi linamshikilia Mwanaume mmoja aliyewaua Watoto wake wawil 2 na yeye kunywa sumu ambayo haikumuua.

Watoto hao waliouawa mmoja alikuwa na miaka 7 na mwingine miaka 3

Inadaiwa kuwa siku moja kabla ya Sherehe ya Christmas familia hiyo ilisafiri hadi Narumoru ambako Mama wa Watoto hao alibakia huko kwasababu ambazo hazijajulikana.


Hakuna maoni: