Jumatano, 6 Desemba 2017

MADABIBA NA WENZAKE WAFUTIWA MASHITAKA NA KUKAMATWA TENA



 
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake watano wamefutiwa mashtaka ya kusambaza dawa feki za kupunguza makali ya UKIMWI (ARV ) na kisha kukamatwa upya na kufunguliwa mashataka mapya


Hakuna maoni: