Ijumaa, 29 Desemba 2017

ASKARI.POLISI ALIYEMUUA ASKARI W JWTZ AMEKAMATWA WAKATI AKIJARIBU KUJIUA


Askari polisi aliyemuua kwa risasi aliyekuwa mpnz wake bi Neema ambaye alikuwa askari wa jeshi la wananchi kambi ya makambako amekamatwa Leo akijaribu kujiua.

Askari huyo ambaye baada ya kufanya mauaji aliacha begi lenye vyeti vyake na bunduki aliyotumia kutoa uhai wa Neema nyumbani kwa marehemu na kuelekea msituni ambako alikutwa akiwa ktk jaribio la kuutoa uhai wake.

Askari huyo amelazwa ktk hospital ya makambako.


Hakuna maoni: