Kiongozi wa chama cha upinzani cha Movement for Democratic Change (MDC) Morgan Tsvangirai amerejea nchini Zimbabwe.
Bw Tsvangirai amekua akipokea matibabu ya saratani nje ya nchi hiyo.
Msemaji wa chama hicho amesema kiongozi huyo alirejea Harare Jumatano jioni. Kurejea kwake kunazidisha uvumi wa kuafikiwa kwa makubaliano ya hali ya kisiasa baada ya Mugabe.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni