TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI
Alhamisi, 2 Novemba 2017
VIDEO: MCT kuwafikisha mahakamani watakaowazuia wanahabari
Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga amesema baraza hilo haliridhishwi na hali ya uhuru wa habari iliyopo hivi sasa hivyo limesema litawachukulia hatua kali ikiwamo kuwafikisha mahakamani watu watakaowazuia na kuwanyanyasa waandishi wa habari wakiwa kwenye majukumu yao.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni