Jumatano, 22 Novemba 2017

Rais mtarajiwa wa Zimbabwe awasili mjini Harare

Rais mtarajiwa wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amerudi nchini humo kutoka Afrika Kusini.

Anatarajiwa kutoa hotuba yake katika makao makuu ya chama cha Zanu-PF mjini Harare.

Hakuna maoni: