Alhamisi, 19 Oktoba 2017

Waziri Mkuu ziarani nchini Cananda

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe. Jack Zoka baada ya  kuwasili Toronto leo Oktoba 19, 2017 kwa ziara ya kikazi.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe. Jack Zoka baada ya kuwasili Toronto Oktoba 19, 2017 kwa ziara ya kikazi. Kulia ni mkewe Mama Mary Majaliwa.

Hakuna maoni: