Jumapili, 22 Oktoba 2017

Ujerumani: Mtu mmoja amekamatwa baada ya kushambulia watu kwa kisu

Mtuhumiwa aliekuwa akishambulia watu kwa kisu alikamatwa huko mjini Munich nchini  Ujerumani Jumamosi.

Msemaji wa polisi wa Munich, Galoria Martins, alisema kuwa mtu asiyejulikana alishambulia watu sita, ikiwa ni pamoja na mwanamke, katika maeneo sita kwenye eneo la Rosenheimer  Munich.

Watu wanne kati ya sita walijeruhiwa katika shambulio hili, lakini maisha wako salama.

Mtuhumiwa alikamatwa badae karibu na eneola tukio.

Hakuna maoni: