Jumatatu, 25 Septemba 2017

KCB BANK YAIZAMINI LIGI KUU TANZANIA BARA



Faridi Miraji , Dar es salaam.                             

TFF imeingia mkataba wa mwaka mmoja na Benki ya KCB wenye thamani ya 325,000,000 TZS.

- "TFF na KCB Benki ni taasisi zanye mafanikio Benki imedumu kwa zaidi ya miaka 100 vivo hivyo mpira wa miguu nchini " - Rais wa TFF

- "Tunapenda kuiunga mkono TFF katika lengo la kupeleka soka la Tanzania mbele." -  Cosmas Kimario Mkurugenzi Mkuu wa KCB

- " Makubaliano haya ni ushahidi  kuwa benki kubwa kama KCB inaamini katika mpira kupitia uongozi wa TFF "  - Rais wa TFF


Hakuna maoni: