DIAMOND AMJIBU JULIANA SHONZA
by ZAKABOYBLOG.blogspot.com
"Nipo tayari kufa au kwenda jela kwa Ajili ya BongoFleva
Inawezekana unanizdi Elimu,Cheo Lakini Katika Sanaa Haunizidi hata robo
Sio kukurupuka Kufungia wasanii bila kufanya Research pia hakuna chochote mnachotusaidia mnaonekana kwenye kufungia tu kutoa vitu vitakavyotujenga wasanii hakuna"
#Diamond_In_TimesFm
By zakaboyblog.blogspot.com