AMRI KUMI ZA MUNGU
Leo ni jumapili nimeamka na nimeona afadhali nimkumbuke mungu kwa kuzikumbuka hizi amri.
1. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
2. Usijifanyie sanamu ya kuchongo.
3. Usilitaje bure jina la BWANA , Mungu wako.
4. Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
5. Waheshimu baba yako na mama yako upate heri na miaka mingi duniani
6. Usiue
7. Usizini
8. Usiibe
9. Usimshuhudie jirani yako uongo
10. Usitamani chochote alicho nacho jirani yako.
Je? Kwa mtazamo wako hizi amri zinatekelezwa kweli?
1. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
2. Usijifanyie sanamu ya kuchongo.
3. Usilitaje bure jina la BWANA , Mungu wako.
4. Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
5. Waheshimu baba yako na mama yako upate heri na miaka mingi duniani
6. Usiue
7. Usizini
8. Usiibe
9. Usimshuhudie jirani yako uongo
10. Usitamani chochote alicho nacho jirani yako.
Je? Kwa mtazamo wako hizi amri zinatekelezwa kweli?