Jumamosi, 6 Januari 2018

Breaking News: Rais Magufuli aenda kumjulia hali Kingunge Ngombale Mwiru

Rais  Magufuli akimjulia hali mzee Kingunge Ngombale Mwiru, katika wodi ya Mwaisela, Muhimbili. Mzee Kingunge amelazwa hospitalini hapo baada ya kushambuliwa na mbwa nyumbani kwake



Hakuna maoni: