Mgombea Ubunge jimbo la Songea Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dr. Damas Ndumbaro ameshinda Uchaguzi kwa kupata kura 45162 sawa na 97% akifuatiwa kwa mbali na mgombea Wa CUF aliyepata kura 608.
Matokeo rasmi yametangazwa na mkurugenzi wa uchaguzi jimbo la Songea mjini.
Matokeo rasmi yametangazwa na mkurugenzi wa uchaguzi jimbo la Songea mjini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni