Mkazi wa kijiji cha Kitagasembe Kata ya Gwitiryo Wilaya Tarime Mkoani Mara aliyefahamika kwa jina la Bhoke Mwita ameuawa kwa kukatwa shingo upande wa kulia kwa kitu chenye ncha kali na mumewe Mwita Mganya kwa kumkataza asiuze ardhi.
Read more »
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni