Jumamosi, 6 Januari 2018

AUAWA KWA KUCHINJWA NA MUME WAKE TARIME

Mkazi wa kijiji cha Kitagasembe Kata ya Gwitiryo Wilaya Tarime Mkoani Mara aliyefahamika kwa jina la Bhoke Mwita ameuawa kwa kukatwa shingo upande wa kulia kwa kitu chenye ncha kali na mumewe Mwita Mganya kwa kumkataza asiuze ardhi.
Read more »

Hakuna maoni: