Jumatatu, 18 Desemba 2017

ROSE MUHANDO AJIUNGA RASMI CCM

Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.


Hakuna maoni: