kwa upande wa serikali katibu mtendaji wa BASATA Bw. Godfrey Muingereza kwaniamba ya waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mh. Dkt. Dk. Harison Mwakyembe amesema taji hilo limeleta sifa kubwa sio kwa miss pekee yake bali ni kwa Taifa na serikali inaandaa mazingira mazuri kwa wasanii na sanaa iwezekupata hadhi na nafasi yake.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni