TAZAMA FULL VIDEO HAPO......... CHINI USISAHAU KUSUBSCRIBE
Jumanne, 14 Novemba 2017
VIDEO: Meli kubwa yenye madaktari 300 kutoka China kutoa tiba bure
Inakumbukwa mwaka huu wakati wa zoezi la matibabu ya bure yanaendelea jijini Dar es salaam aliyekuwa balozi wa Tanzania kutoka China aliahidi kushilikiana na Tanzania katika nyanja za afya, Hivyo kuanzia tarehe 19 mwaka huu timu ya madaktari 300 watatoa huduma za matibabu bure.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni