Alhamisi, 30 Novemba 2017

VIDEO: K' Njaro Stars yatamba kutwaa CECAFA

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania bara ' Kilimanjaro Stars' kimepaa leo kuelekea Nchini Kenya kushiriki michuano ya Chalengi huku kikitamba kurejea na Kombe . Stars imeondoka na msafara wa watu 30, Wachezaji 23 na Benchi la ufundi likiwa na watu saba.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE



Hakuna maoni: