Habari njema kwa wakulima wa Mhugo unaweza kupata mbegu bora za Muhogo, Ushauri wa Kilimo bora cha zao la Muhogo kibiashara, Usimamizi wa mashamba, Farm (management) kupitia Mwenkale family group investment.
Mbegu zimethibitishwa na mamlaka ya uthibiti ubora wa Mbegu Tanzania (Tosci) Aina ya MBEGU kiroba mbegu imeandaliwa kulingana na sheria ya uzalishaji mbegu ya mwaka 2003 hivyo mbegu zipo kisheria sifa na ubora wa Mbegu
1. Inastahimili ukame
2. Inastahimili Magonjwa ya Muhogo kama vile Batobato &Michirizi ya kahawia
3. Mauzo zaidi na kukuza kipato
4. Idadi sawa ya mimea iliyopandwa na ukomavu
5. Inauchipuaji na ukuaji wa nataka
6. Chanzo kinachojulikana na chenye kiwango bora
7. Inachukua miezi 6-7 ukomaaji 8inaweza kuzaa Tani 9-12 na zaidi pia inategemeana na maandalizi yako ya shamba.
Tunapatikana maeneo yafuatayo Mtwara, Lindi, Dar, na Pwani. kwa mahitaji ya Mbegu ushauri wasiliana nasi kupitia namba zifuatazo 0674562237 / 0622971431 Wote mnakaribishwa.
Mbegu zimethibitishwa na mamlaka ya uthibiti ubora wa Mbegu Tanzania (Tosci) Aina ya MBEGU kiroba mbegu imeandaliwa kulingana na sheria ya uzalishaji mbegu ya mwaka 2003 hivyo mbegu zipo kisheria sifa na ubora wa Mbegu
1. Inastahimili ukame
2. Inastahimili Magonjwa ya Muhogo kama vile Batobato &Michirizi ya kahawia
3. Mauzo zaidi na kukuza kipato
4. Idadi sawa ya mimea iliyopandwa na ukomavu
5. Inauchipuaji na ukuaji wa nataka
6. Chanzo kinachojulikana na chenye kiwango bora
7. Inachukua miezi 6-7 ukomaaji 8inaweza kuzaa Tani 9-12 na zaidi pia inategemeana na maandalizi yako ya shamba.
Tunapatikana maeneo yafuatayo Mtwara, Lindi, Dar, na Pwani. kwa mahitaji ya Mbegu ushauri wasiliana nasi kupitia namba zifuatazo 0674562237 / 0622971431 Wote mnakaribishwa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni