Meneja wa mwimbaji wa muziki wa Injili, Rose Muhando, Alex Msama
Akizungumza na Za Motomoto News, Msama alisema alimuacha Rose kwa kuwa alikuwa akiwatapeli watumishi wa Mungu fedha alizokuwa akipewa kwa ajili ya shoo na kesi kibao kujaa polisi, lakini kwa asilimia kubwa hivi sasa ame-‘change’ hivyo atamrudisha soon.
Mwimbaji wa muziki wa Injili, Rose Muhando.
“Rose alizidisha sana mambo yake ya utapeli ndiyo maana nikaacha kufanya naye kazi na tangu hapo amepotea kabisa kwenye ulimwengu wa Injili, ninamrudisha hivi karibuni tu, mashabiki wake wakae tu mkao wa kula maana ni mwimbaji mzuri sana anayejua kuimba,” alisema Msama.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni