KISUTU, DAR: Mtoto wa marehemu Chacha Wangwe, Bob Wangwe ahukumiwa kifungo cha mwaka 1 na nusu jela au faini ya Sh. Milioni 5 kwa makosa ya mtandao.
Wetetezi wa Haki za Binadamu pamoja na familia wanashughulikia kulipa faini.
Wakili wake alikuwa Dkt. Onesmo Kyauke
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni