Jumatano, 15 Novemba 2017

Hukumu ya Mtoto wa Chacha Wangwe yatolewa

KISUTU, DAR: Mtoto wa marehemu Chacha Wangwe, Bob Wangwe ahukumiwa kifungo cha mwaka 1 na nusu jela au faini ya Sh. Milioni 5 kwa makosa ya mtandao.

Wetetezi wa Haki za Binadamu pamoja na familia wanashughulikia kulipa faini.

Wakili wake alikuwa Dkt. Onesmo Kyauke

Hakuna maoni: