Kuelekea zoezi hilo baadhi ya Timu ambazo zimepangwa chungu kimoja ni chungu cha kwanza ambacho kina timu mwenyeji Urusi, Ujerumani, Brazil, Ureno, Ajentina, Ubelgiji, Poland na Ufaransa.
Mambo muhimu kuhusu nchi ambazo tayari zimefuzu Kombe la Dunia 2018
Taifa la watu 335,000 lafuzu Kombe la Dunia
Afrika inawakilishwa na Misri, Nigeria, Morocco, Tunisia na Senegal.
Na kuelekea fainali hizo FIFA wamesema mpaka sasa kuna maombi milioni 3.5 ya tiketi na walioomba wengi wao ni wenyeji Urusi.
Vyungu Kombe la Dunia
Chungu 1 Chungu 2 Chungu 3 Chungu 4
Urusi (wenyeji) Uhispania (8) Denmark (19) Serbia (38)
Ujerumani (1) Peru (10) Iceland (21) Nigeria (41)
Brazil (2) Uswizi (11) Costa Rica (22) Australia (43)
Ureno (3) England (12) Sweden (25) Japan (44)
Argentina (4) Colombia (13) Tunisia (28) Morocco (48)
Ubelgiji (5) Mexico (16) Misri (30) Panama (49)
Poland (6) Uruguay (17) Senegal (32) Korea Kusini (62)
Ufaransa (7) Croatia (18) Iran (34) Saudi Arabia (63)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni