Jumanne, 21 Novemba 2017

BREAKING NEWS:RAIS MUGABE AJIUZULU



Taarifa za hivi punde zinasema kuwa rais wa Zimbabwe, Bw. Robert Gabriel Mugabe, kajiuzulu urais.


Katika dakika chache zilizopita , spika wa bunge la Zimbabwe ametangaza kuwa rais Robert Mugabe amejiuzulu . 

Kumekuwa na shangwe miongoni mwa wabunge kufuatia tangazo hilo. harakati za kumuondoa madarakani rais huyo kupitia bunge kumesitishwa.


Hakuna maoni: