Mwanasiasa maarufu wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini David Kafulila leo Jumatano Novemba 22,2017 ametangaza kujivua uwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kwa kile alichosema hana imani na vyama vya upinzani kama jukwaa salama la kupambana na ufisadi nchini Tanzania.
Read more »
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni