Baadhi ya taaisisi za serikali na zisizo za serikali zilizopewa vyeti ni pamoja na Hospitali ya Hindu Mandal, Halmashauri ya Jiji, Taasisi ya Damu salama, taasisi ya madaktari wa kinywa Tanzania Dental Association), TTCL, Kiwanda cha maziwa ya Tanga Fresh n.k.
Vyeti hivyo pia vimetolewa kwa Vyombo vya habari na mitandao ya kijamii iliyoshiriki kuuhabarisha umma, ni pamoja na TBC 1, mtandao wa MUUNGWANA BLOG sambamba na vyombo vingine vya habari.
Mara baada ya kuwakabidhi vyeti hivyo amewashukuru kwa kusema walifanya kazi yao bila kujali itiadi zao za kidini, Siasa na kikanda, sambamba na kuwaomba waendelee kujitolea kwa moyo mmoja.
Aidha amesema lengo ilikuwa ni kupima wananchi 10000 lakini walizidi hadi kufikia 14,650 na kuongeza kuwa wasingweza kuwazuia hao walioongezeka.
RC Makonda (Kushoto) akimkabidhi cheti cha shukrani Mwandishi wa Habari wa Mtandao wa Muungwana Blog Habib Shaban.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni