Bw Chebukati amesema katika baadhi ya maeneo ambayo huenda uchaguzi utatatizwa kwa sababu za kiusalama au sababu nyingine, uchaguzi unaweza kuahirishwa kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi.
Amesema wasimamizi wa uchaguzi maeneo hayo wanafaa kuwapasha habari wasimamizi wa tume ambao wataamua.
Amesema vifungu vya Sheria za Uchaguzi na Kanuni za Uchaguzi vinaweza kutumiwa kuahirisha uchaguzi na uandaliwe baadaye maeneo hayo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni