Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akimtoka kiungo wa Malaga, Esteban Rolon katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Camp Nou. Barca ilishinda 2-0 mabao ya Gerard Deulofeu dakika ya pili na Andres Iniesta dakika ya 56.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni