Jumatatu, 8 Januari 2018

TRA: Makusanyo ya Mwezi Dec 2017 yamepanda hadi trilioni 1.66 sawa na ongezeko la ukuaji wa 17.65%

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeeleza kuwa, katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Disemba, 2017, imekusanya jumla ya shilingi trilioni 7.87, ikilinganishwa na shilingi 7.27 zilizokusanywa katika kipindi kama hicho kwa mwaka wa fedha wa 2016/17.


Hakuna maoni: