Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeeleza kuwa, katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Disemba, 2017, imekusanya jumla ya shilingi trilioni 7.87, ikilinganishwa na shilingi 7.27 zilizokusanywa katika kipindi kama hicho kwa mwaka wa fedha wa 2016/17.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni