Jumatano, 10 Januari 2018

TANZANIA:MTANGAZAJI WA RADIO FREE AFARIKI DUNIA


Habari tulizozipokea hivi punde zinasema Mtangazaji wa muda mrefu wa Radio Free Africa, Zuberi Msabaha amefariki dunia jijini Mwanza.

Zuberi Msabaha alikuwa ameugua kwa muda mrefu. Msiba upo Mabatini jijini Mwanza na mazishi yatafanyika leo 

Taarifa zaidi tutawaletea hivi punde.
R.I.P Zuberi Msabaha



Hakuna maoni: