Jumanne, 9 Januari 2018

Gavana mpya wa Benki Kuu ya Tanzania aanza kazi rasmi

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga ameanza kazi jana  Januari 8, 2018 kwa kusema lugha ya kushindwa kukabiliana na changamoto haikubaliki katika taasisi hiyo.

==>Taarifa kamili iko hapo chini 



Hakuna maoni: