Aidha mbunge Peneza aliwaomba watanzania kuona namna fedha ya Tanzania inavyochezewa kwa kila siku wabunge na madiwani wakihama kutoka chama kimoja kwenda kingine, hivyo kuliingiza taifa hasara kwa kuandaa chaguzi nyingine.
Huku wale waliohama chama wakipewa nafasi ya kugombea nyazifa, ''kwahiyo ni mchezo mchafu wanaochewa watanzania'' alisema
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......UUSISAHAU KUSUBSCRIBE
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni