Mwanajeshi mmoja wa Tanzania ambaye ni miongoni mwa waliojeruhiwa katika shambulio la Disemba 7 nchini DRC amefariki dunia akipatiwa matibabu Uganda. Kifo hicho kimefanya idadi ya wanajeshi waliofariki kwenye shambulio hilo kufikia 15.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni