Wanajeshiwa Argentina wakifanya yao.
Nyambizi hiyo inayotumia mafuta ya dizeli ilitoweka umbali wa kilomita 430 kutoka pwani.
Uingereza na nchi za eneo hilo zimejitolea pia kusaidia kazi hiyo. “Hatujafanikiwa kuipata, wala hatuna mawasiliano na nyambizi hiyo,” alisema Msemaji wa Jeshi la Wanamaji, Enrique Balbi wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Nyambizi hiyo ilikuwa ikirejea kutoka safari ya kawaida kutoka Kusini mwa Amerika ya Kusini ikielekea kituo chake cha Mar del Plata kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo. Nyambizi hiyo ilizinduliwa mwaka 1983 ndiyo mpya zaidi kati ya nyambizi tatu za Argentina
Buenos Aires, Argentina
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni