Jumatatu, 13 Novemba 2017

VIDEO: Waziri Mpina Akiongelea kuhusu uchomaji wa vifaranga kutoka Kenya

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma vifaranga 6,400 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege lakini pia mmiliki hakuwa na vibali na vifaranga havikukaguliwa.

==>Msikilize hapo chini


Hakuna maoni: