Wakili wa Serikali, Leonard Challo leo Jumatano Novemba 8,2017 amemueleza Hakimu Mkazi Mwandamizi, Victoria Nongwa kuwa kesi hiyo ilipaswa kuanza kusikilizwa lakini shahidi waliyemtarajia ameanza likizo na amesafiri.
TAZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI........ USISAHAU KUSUBSCRIBE
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni