Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Maria Mwanahiya mkazi wa kijiji cha Ntatumbila wilaya Nkasi mkoani Rukwa amemjeruhi vibaya mume wake kwa kumchoma kisu ubavuni kwa madai kuwa alipata hasira baada ya kukerwa na kitendo cha mume wake kumlazimisha kuacha starehe zake ikiwemo kunywa pombe.
Read more »
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni