Jumatatu, 23 Oktoba 2017

MAGUFULI KUWATUNUKU VYETI WALIOFANIKISHA UCHUNGUZI WA MAKINIKIA LEO

IKULU: Rais Magufuli leo anatarajia kuwatunuku vyeti wote waliofanikisha uchunguzi wa makinikia na kufikiwa makubaliano kati ya serikali na Kampuni ya Madini ya Barrick Gold Corporation.




Hakuna maoni: